Monday, November 16, 2009

Wakufunzi, Wahariri wa habari msiache kuandika

Na Victor Maleko

Wahariri wa vyombo vya habari na Wakufunzi wanaofundisha kwenye tasnia ya habari nchini wamehimizwa kuwa mfano wa kuigwa kutoa elimu ya habari kwa njia ya kuandika habari, fursa itakayowafanya waoneshe umahiri wao kwa wanafunzi wanaowafundisha.

Changamoto hiyo ilitolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Bw. Kajubi Mukajanga kwenye mafunzo yaliyoandaliwa kwa ajili ya Wakufunzi wa tasnia ya habari, yaliyofanyika Jijini Mwanza hivi karibuni.


BAADHI YA WAKUFUNZI WAKIJADILI JAMBO KATIKA MAFUNZO HAYO

Bw. Kajubi ambaye alikuwa mmoja wa wawezeshaji wawili wa mafunzo hayo ya siku mbili alisema, Wahariri na Wakufunzi wa tasnia ya habari hawawezi kuwa na ujasiri wa kuyakosoa mapungufu ya habari zinazoandikwa na waandishi wao kama hawaandiki kila mara.
"Siku hizi, Wahariri wa vyombo vya habari na Walimu wa fani ya uandishi wa habari hamuandiki kabisa! Sasa mnapata wapi ujasiri wa kutambua kisha kuhariri upungufu wa habari zinazoandikwa na Waandishi wengine?!" alishangaa Bw. Mukajanga.

Aliwaambia jumla ya washiriki 11 wa mafunzo hayo kwamba kutoandika habari za kawaida na makala katika magazeti kunahatarisha ukuaji wa tasnia ya habari kwa sababu viongozi wanaotarajiwa kuonesha mfano na umahiri wa kuandika hawatimizi wajibu wao.

Akizungumzia maandalizi ya baadhi ya wanafunzi kuwa Wahariri, Bw. Mukajanga ambaye ni Mwandishi mzoefu aliyewahi kumiliki gazeti, alitahadharisha kuwa, “Msijidanganye kwa kudhani kuwa mtu yeyote anaweza kujiita Mhariri pasipo kuwa na ujuzi wala uzoefu wa uandishi wa habari za kawaida na makala" .

Naye Mwezeshaji mwenza, Bw. Fili Karashani, alieleza kushangazwa kwake kuwaona baadhi ya wahitimu wa elimu ya juu katika tasnia ya habari hawawezi kuandika habari, jambo ambalo alisema, hulazimika kuwafundisha upya jinsi ya kuandika habari wahusika hao wawapo makazini.

Kwa upande wake, Mhariri wa gazeti la ‘Msanii Afrika’ na Jarida hili, Bw. Calvin Jilala alisema, uhalali wa mtu aliyepewa dhamana ya Uhariri kufanya kazi yake unatokana na uandishi bora wa habari unaomwezesha kukuza upeo wake wa kutambua usahihi, ukweli, uwazi na umakini wa hali ya juu ya mwandishi husika.

“Kimsingi Mhariri na Mkufunzi wa taaluma ya habari ni Mwandishi wa habari, hivyo si sahihi Mhariri ama Mkufunzi kuacha kazi yake kwa sababu tu kapanda daraja. Hiyo ndiyo kazi yake ya msingi. Wakumbuke wao ni viongozi wanaopaswa kuwa mfano wa kuigwa na wanaowaongoza.” Alisema Bw. Jilala.

Mafunzo hayo yaliwashirikisha Wahariri na Wakufunzi kutoka Vyuo vikuu mbalimbali vinavyofundisha elimu katika Tasnia ya habari ikiwemo Mawasiliano ya umma, uandishi wa habari na kadhalika.

Wednesday, November 11, 2009

FAMILIA YA MTUHUMIWA WA MAUAJI YA ALBINO
NI KATIKA KIJIJI CHA NANDA WILAYA YA BUKOMBE MKOANI SHINYANGA AMBAPO MAMA HUYU NI MKE WA BWANA CHARLES MASANGWA KARAMJI. BWANA CHARLES MASANGWA NA NDUGU YAKE WA KUZALIWA BWANA EMMANUEL MASANGWA WAMEHUKUMIWA KUNYONGWA BAADA YA KUFANYA MAUAJI YA MLEMAVU WA NGOZI (ALBINO). PICHANI NI MKE WA BWANA CHARLES MASANGWA AMBAYE AMEACHIWA WATOTO SABA, HAO NI WANNE KATI YAO.

Tuesday, November 10, 2009

LAIVU BILA CHENGA
STENDI YA MABASI SHINYANGA

HAPO NI ABIRIA AKIGOMBANIWA NA MAKONDAKTA WA MABASI. KUIBIWA NJE NJE!
ABIRIA WAKISUBIRI USAFIRI - MISUNGWI
STAND NDOGO YA MISUNGWI

SIKU ZA WIKI WATOTO WENGI WENYE UMRI HUU WANAKUWA SHULENI WAKISOMA, LAKINI MTOTO HUYU ANAFANYA KAZI YA KURUHUSU MABASI YA ABARIA YANAYOINGIA NA KUTOKA
KATIKA STENDI HII YA MABASI. JE, BAADA YA MIAKA 20 TANZANIA ITAKUWA NA WASOMI WA AINA GANI
MTANZANIA KAZINI





HUENDA HAWA WALIKUWA WANAJUA "KILIMO KWANZA" TANGU AWALI LAKINI LABDA KWA KUFANYA MAUZO ZAIDI
ALMASI (MISASI) MISUNGWI KUMEKUCHA



MAJEMBE, SURURU NA SHOKA HAVITOSHI SASA NI MWENDO WA MAGREDA. NYUMBA YA MTU SI THAMANI TENA, NI MWENDO WA KUSAKA MAHELA TU. NA KILIMO KWANZA JE?

Friday, October 30, 2009

SNAKE DANCE





SNAKE DANGE - ONE OF THE BEST SUKUMA DANCE IN BUJORA


WATCHING AND TAKING PICTURES OF THE SUNSET HAS BEEN A NICE THING TO DO AT THE DANCING ROCKS



Welcome to Rock City where you will see the most incredible SUNSET VIEW at Dancing Rocks

Climate Change a threat to the Roof Of Africa


In the Northern Eastern of Tanzania from the plains near Moshi, approximately 5,892 Metres which is equivalent to 19,331 feet, lays the beautiful highest peak of Africa (The roof of Africa), Mount Kilimanjaro with its three volcanic cones of Kibo, Mawenzi and Shira that provides the spectacular view of its surrounding plains.

Mount Kilimanjaro being the tallest free-standing mountain in the world, it’s the reason that gives its unique convincing beauty of Africa.

I being the eye witness on climbing the roof of Africa four times, I would say that, climbing Mountain Kilimanjaro, one must be physically capable and properly equipped to make sure he/she doesn’t have any excuse when climbing the mountain.
Mount Kilimanjaro has several routes to reach the peak of Africa, these includes Marangu route (Normal route), Mweka route, Umbwe route, Machame route, Shira route, Lemosho and Rongai routes.

With all the beautiful things found in the Mountain Kilimanjaro (Birds, landscapes, Ice cap and vegetation), still there are threats to this beautiful Roof of Africa.

According to the research done by the Professor Thomson in January and February 2000 on history of the mountain’s climate over the centuries which was published by BBC, state that, “Some time between 2015 and 2020 the ice will be gone - along with the archive of climate history recorded in those glaciers”. The report also said earlier evidence shows that there were three catastrophic droughts on the continent in the intervening period and also reinforces predictions made last year that rising temperatures could clear the mountain's ice completely within two decades. (Follow this link to read the BBC report of their work)
Since the last pictures were taken on Mountain Kilimanjaro, it shows that the snow has been decline for more and more and it’s estimated that the volume of the ice cape on Mount Kilimanjaro has dropped by more than 80% and this is since the year 1970.
According to the Earthshorts: Satellite images of environmental change, Kilimanjaro's glaciers have been shrinking since at least the 1880s. (Scientists measure the glaciers, not the fluctuating snow cover. Ground measurements are required in addition to aerial/satellite imagery, since the glaciers may be covered by snow or ash.)The ice has retreated both vertically and horizontally, but the loss of area has been more dramatic, here are the statistics
Year Area
1880 20 km2
1912 12.1 km2
1953 6.7 km2
1976 4.2 km2
1989 3.3 km2
2000 2.6 km2
2003 2.5 km2

If this climate change continues, its repercussion would be extremely higher to the people live near by the mountain because the big part of their economy depends much on the water that is coming from this mountain for their domestic and agriculture use.

Mount Kilimanjaro provides employment for the people living near by the mountain (People from Kilimanjaro, Arusha and Manyara). Most of the tourist from Europe and other part of the world come to climb this beautiful Roof of Africa as part of their leisure time. This provides jobs for many young people in the mentioned regions as they are paid to climb the mountain together with tourists caring their luggage or being guides leading the tourists.
It’s clearly shown how the community will suffer economically and socially as there will be no tourists to visit the mountain after the glacier had disappear hence no jobs for the native.

The global warming (Climate Change) will also result to other factors like Temperature rise, drought, and increased high sea level lead to Tsunamis.

Mount Kilimanjaro must have a special call to prevent it from its glacier disappearance in order to give more room for the people to survive via the mountain. Lets Tanzania stands and wake up to serve our natural resources.

Wednesday, October 28, 2009

Internet as a tool in searching for information

It is now 16:30 that I am posting this comment concerning the Internet training here at BoT in Mwanza. The 3rd day started well as usual. Mr. Peik Johansson (The trainer) speaks about the internet as a tool in searching for information

Internet can actually give you almost everything that you are looking for but you real need to know what exactly are you looking for and who is giving you that information (The website).

Sometimes its not necessarily knowing who gives you the information because there are a lot of search engines like Google which gives you the websites.

Via internet you can possible find the source of information or it can be a global collection of information, it can also search for facts and background information and people or even checking facts for editors.

In an issue of global collection of information, Mr. Peik gives us a lot of website that they are very useful in searching for reliable information. Some of them I didn’t know if they exist, for example www.users.elite.net (“Hellow” in many languages). In this website you will learn how different words from different languages can be pronounced in different languages. It’s a very interesting kind of website.

But he also mentioned other international and local websites that has a lot of information and mostly news from every part of the world. For example, www.hiraan.com, www.allafrica.com, www.ipsnews.net, www.reuters.com, www.author-me.com, www.amnest.org, www.ajol.info www.africanelection.tripod.com, www.jamiiforum.com, and many other websites from Tanzanian media (Newspaper, Television and Radio Stations) that can give a lot of everyday online information.

However, Mr. Peik speaks something on The mail rules/Most important rules of email. We have been using email maybe for years now but we might don’t know the rules of the mail, you can easily find them on these webpage www.systemsarchitecture.org/mane/mailrules (Google it if you find it difficult to get).

You won’t be disappointed visiting the above websites. Try me.

Tuesday, October 27, 2009

Interesting thing on the training:

27/10/2009 is my second day on the internet training at BOT. The day started very nicely and smoothly.
We started by going through different websites with their different usage. These websites includes www.alexa.com, www.ebay.com, www.wikipedia.org, www.napster.com, www.youtube.com and most interested one was www.google.com
Google is the most multipurpose search engine that can give you almost every thing that you are looking for. It gives a range of information from older to new info.

The most interesting thing today is when Mr. Peik start to direct on how to create/design a blog. I found a blog as a nice, simple webpage that can be used to share ideas. Every participant has an opportunity to create his/her own blog and give link to other blogs and websites of his/her favorite. After these blog were created and linked together, I found it very easy to access information from every blog that was linked to my blog. It was very interesting.

Internet Training at BOT - Mwanza

My name is Victor Maleko, I have a bachelor of Mass Communication. I am working with Mwanza Press Club as a Coordinator but also as an assistant editor for “TUWASILIANE” newsletter owned by Union of Tanzania Press Clubs (UTPC). I live in Mwanza.

Today I am on the internet training at BOT in Mwanza and I have learned a lot including how internet has changed society, different ways of using internet; for example, as a global library, global news room, phone directory, encyclopedia and also as a chat room, discussion groups or for TV, Radio, music and all kinds of games and gambling.

I also learnt on the statistics of Internet usage for every continent, country and individual world wide. Asia and Europe are the leading continents while Africa is the last one.
Apart from that I learnt on how to book for a flight ticket via internet, and I found very easier and time management.

After a one week training on internet, I will be able to use the internet best than before and as mass communicator I will be able to communicate better via internet as it’s the best, easiest and fastest way of communication.

Victor Maleko
Cell: +255 787 11 55 11 and +255 655 33 55 55
Email: victorkepha@gmail.com