
BAADHI WACHEZAJI WA TIMU YA KIKAPU MKOA WA MWANZA "ROCK CITY" WAKIWA SAFARINI KATIKA MOJA YA VITUO KUELEKEA MOMBASA KATIKA MICHUANO YA MAJIJI YA MPIRA WA KIKAPU HUKO MOMBASA KENYA

WACHEZAJI WAKIWA WAMEVALIA NGUO ZA KUZUIA BARIDI WALIPO KUWA SAFARINI KUELEKEA MOMBASA. HII ILIWASAIDIA KUTUNZA JOTO TAYARI KUIKABILI MICHUANO.


MARA BAADA YA KUFIKA MOMBASA, HAPA WACHEZAJI WANAONEKANA WAKIELEKEA UWANJANI TAYARI KUIKABILI MICHUANO HIYO

WACHEZAJI MIPIRA NA KIKOMBE


WACHEZAJI WAKIWA KATIKA MAPUMZIKO YA VIPINDI KABLA YA MECHI KUENDELEA

TIMU YA MPIRA WA KIKAPU MKOA WA MWANZA "ROCK CITY" KATIKA PICHA YA PAMOJA NA VIONGOZI WAO NDANI YA UWANJA MARA BAADA YA MICHUANO KUMALIZIKA HUKO MOMBASA NAIROBI.

WACHEZAJI NA VIONGOZI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA MARA BAADA YA MICHUANO KUISHA

WACHEZAJI NA VIONGOZI KATIKA CHAKULA CHA PAMOJA KUJIPONGEZA BAADA YA KUSHIKA NAFASI YA TATU KATIKA MICHUANO HIYO. HAPA NI NYUMBANI HOTEL