Monday, February 14, 2011

Mbadala wa usafiri jijini Mwanza baada ya mabasi madogo maarufu kama DALADALA kugoma kufanya kazi....






Huu ndiyo mbadala wa usafiri kwa abiria jijini Mwanza mara baada ya wamiliki na waendesha magari ya abiria maarufu kama daladala kugoma kufanya kazi ya kubeba abiria wakishinikiza ongezeko la nauli kufika shilingi 300 badala ya 250

No comments:

Post a Comment