Saturday, March 26, 2011

TAIFA LA KESHO LIMEPOTEZA MATUMAINI... Hii ndio hali halisi ya watoto waishio kwenye mazingira magumu mkoani Mwanza




Moja ya watoto waishio katika mazingira magumu mkoni Mwanza wakiwa wameuchapa usingizi barabarani na katika moja ya mitaro wa kupitisha maji machafu jijini humo. Hali hii inasikitisha kwani hili ndio taifa la kesho ambalo limesha kata tamaa. Baada ya Serikali ya Tanzania kulaumiwa sana, Je, sisi kama jamii tumechukua hatua gani kuliinua Taifa hili la kesho ambalo limepoteza matumaini? Na je baada ya miaka michache ijayo Tanzania itakuwa na vijana wa aina gani... TAFAKARI

1 comment: