Monday, October 18, 2010

Karibu tena Tanzania NADIA LEHMANN


Wageni wanapo kuja TANZANIA, wanakutana na marafiki wengi kutoka nchi mbalimbali na pengine kutoka nchi moja.
Wageni hawa hupokelewa vizuri na WATANZANIA wakarimu. Watafanya kazi na WATANZANIA na wataishi nao kama ndugu wakijifunza mengi kuhusu TANZANIA, na siku ya kuondoka TANZANIA watajumuika na WATANZANIA kuwashukuru WATANZANIA na hatimaye wanapofika makwao watoe sifa zote nzuri kuhusu TANZANIA...

NA HIVI NDIVYO WATANZANIA TUNAVYOISHI NA WAGENI WETU...

No comments:

Post a Comment