Monday, October 18, 2010

Vijana wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza wakipambana na madereva wanaoegesha magari pasipo stahili


Halmashauri ya jiji la Mwanza inafanya jitihada za makusudi kuhakikisha madereva wanaegesha magari katika maeneo yanayostahili. Lakini je, hawa vijana wanaofunga cheni magari yaliyo egeshwa vibaya, kwanini wakuache mpaka uegeshe gari vibaya ndipo wakufuate kukufunga cheni ama ni kwanini hakuna vibao maalumu vya kuwaelekeza madereva maegesho maalumu ya magari? TAFAKARI

No comments:

Post a Comment