Wednesday, November 3, 2010

Dr. Ali Mohammed Shein Rais wa Zanzibar...


Amani imetawala Zanzibar wakati Dr. Ali Mohammed Shein, akiapishwa ramsi leo kuwa Rais wa saba wa Zanzibar. Hafla hizi zimefanyika katika viwanja vya Amani Zanzibar zikiongozwa na mgombea urais wa bara kwa tiketi ya CCM Mh. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. Wananchi wa Zanzibar wamepewa mapumziko katika siku hii maalumu ili kushuhudia halfa za kumuapisha Dr. Shein kuwa Rais wa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment