Tuesday, November 2, 2010

John Mnyika kiulaini...


Mgombea ubunge jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA atangazwa rasmi kuwa mbunge tawala wa jimbo la Ubungo baada ya kumshinda mgombea mwenza Hawa Ngumbi kwa zaidi ya kura 66,700.

No comments:

Post a Comment