Tuesday, March 22, 2011

Ajali yaua 13: Ni wanamuziki wa kundi la Five Star Modern Taarab...




Kundi la wanamuziki wa Taarab kutoka Five Star Modern Taarab, wamepata ajali usiku wa kuamkia leo maeneo ya Doha mkoani Morogoro wakitokea Kyela mkoani Mbeya kwa shughuli za muziki. Habari zinasema watu 13 wamefariki dunia katika ajali hiyo..
Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi. Amina

2 comments:

  1. may allah rest their soul in eternal peace, amen

    ReplyDelete
  2. Inna Lillah wa inna ilaihi raajuun

    ReplyDelete