Monday, March 21, 2011

Shambulio la Kombora katika uwanja wa Gaddafi mjini Tripoli...



Pichani ni eneo la Gorofa tatu lililo haribiwa vibaya kwa shambulio la Kombora kutoka umoja wa majeshi yanayompinga Gaddafi. Eneo hilo lilikuwa likitumiwa na kiongozi wa Libya Maummar Gaddafi kurushia matangazo yake ya televisheni kabla ya kuharibiwa mapema Jumatatu. Waandishi wa habari waliitwa kutembelea eneo hilo na taarifa zinasema hakuna aliye umia katika shambulio hilo...

No comments:

Post a Comment