Monday, March 21, 2011

Uvumilivu unapofika kikomo....



Katika harakati za kumtoa kiongozi aliye itawala Libya kwa zaidi ya miaka 40, Maummar Gaddafi, wanawake wengi wamekuwa wakijifungia ndani ama katika mitaa wanayoishi kuhofia kufa, lakini si kwa mwanamke huyu ambaye kutokana na chanzo cha habari kutoka Reuters kinasema ni mpiganaji wa waasi wanaotaka kumtoa Gaddafi madarakani akifurahia vikosi vya Gaddafi kuondolewa katika mji wa Benghazi... LIBYA KAZI IPO!

No comments:

Post a Comment