Monday, March 21, 2011

MOTO wa STR8 MUSIC FREE STYLE 2011, all at Villa Park Mwanza


DJ SAMA All the way from STONE CLUB, akipokea zawadi baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika kuchezea zile TURNTABLES... Hongera sana DJ SAMA


ERICK EMMANUEL akipokea zawadi ya mshindi wa kwanza kwa free styles...


WASHINDI WA KWANZA: DJ SAMA from Stone Club akiwa na mshindi wa kwanza kwa free style Erick Emmanuel...


DJ D. Elisha akipokea zawadi baada ya kuibuka mshindi wa pili kwa upande DJz free styles...


Washiriki na waandaaji wa STR8 MUSIC FREE STYLE 2011 kwa pamoja baada ya mpambano kuisha...


DJ SAMA akionyesha ujuzi kwenye TURNTABLE...


DJ D. ELISHA akisababisha wakati wa mpambano wa DJz free styles..


ERICK EMMANUEL, akitoa dozi za free styles...


JAJEZ walikuwa makini wakifuatilia mpambano...


Msanii wa HIPHOP kutoka Jijini Arusha JO'MAKINI maarufu kama MWAMBA WA KASKAZINI ambaye pia ni mkali wa free style alikuwepo katika tukio akiwapa mzuka mashabiki wa mziki wa HIPHOP... ONE LOVE JO'MAKINI


Mashabiki wamepagawa... Shangwe za kutosha....

No comments:

Post a Comment