Thursday, September 2, 2010

TUZO ZA WAANDISHI WALIOFANYA VIZURI KATIKA UANDISHI WA HABARI ZA MAZINGIRA ZIWA VICTORIA.


Lake Victoria Environment Management Project (LVEMP) hivi karibuni waliandaa mashindano ya muandishi bora wa habari za mazingira katika ukanda wa Ziwa Victoria. Pichani ni waandishi wa habari waliofanya vizuri katika zoezi hilo.
Kutoka kushoto ni Bw. Deus Bugaywa kutoka gazeti la The Guardian, Katikati ni Bw. Vedastus Msungu kutoka ITV/Radio One na Kulia ni Bi. Diana Nachilonga kutoka Gazeti la Mwananchi. Hongereni

No comments:

Post a Comment