Friday, September 3, 2010

UHABA WA HUDUMA YA MAJI SAFI NA SALAMA, CHANZO CHA UCHAFUZI WA MAZINGIRA KATIKA MWALO WA KAYENZE - MAGU MWANZA




Huu ni mwalo ulioko KAYENZE, MAGU mkoani Mwanza. Mwalo huu unatumika kwa shughuli nyingi kama inavyoonekana katika picha hizi. Wakazi hawa wangepata huduma ya maji safi na salama huu Mwalo ungebaki salama na pengine magonjwa ya milipuko kama Kipindupindu, kichocho, na mengineyo yangepungua ama kuisha kabisa.

No comments:

Post a Comment